zubaazubaa utampata mwana si wako ... mi nashangaa ... "
natafuta hiyo song ? nin nani aliyeiimba ? Mimi ni mtourist (mgoso) tu, na nilisikia hiyo musiki nzuri wakati nilipokuwa huko Kenya. Ni juu ya watu ... mbona watu wanafanya kazi iliyofaa kufanywa wakati wa mchana wakati wa usiku.
nimemwuliza rafiki wangu mkenya mara nyingi. Lakini hawezi kuremember. Anakumbuka lyrics tu, lakini si jina la wimbaji.
Sonnenschein, Glueck allein
Posts: 5 | Location: ujeru | Registered: 08 March 2008
ahsante kwa kunipongeza kwa kiswahili changu. itanitia hima kuendelea kujifunza kwa bidii. Mimi hufika Kenya kwa likizo tu kwa wiki tatu ama nne kila mwaka. Tena napenda musiki ya Kenya sana kama genge .. inanibamba videadly bambika bambika na hii ngoma noma .... naisikia kila siku na vile vile pia najifundisha lugha
Posts: 5 | Location: ujeru | Registered: 08 March 2008