Halo Guys
I know I have been scarce on this forum but believe me (ti kwenda gwakwa) our internet connection is infested with viruses that ground us most of the time.
When some of us are seeking information we start jumping from one message board to another. (Believe me I have met one or two kikuyus in very remote forums)
I noticed that other forums try to educate their fellow citizens on the happenings in areas that may change their lives. I have read Tanzanians, Australians and other message boards and to quote one, look at this extract from a Tanzanian forum.
Quote
Green card, Green Card, Green Card!! Mbona wabongo hii kitu tunawaachia wenzetu tu jamani. Usiende mbali – hapa tu Kenya: Wakati wameshinda Wakenya 17,768 kwa miaka mitano - 2000 mpaka 2004, wabongo walioshinda kwa kipindi hicho ni 1,554 tu!! Tumelala wabongo pamoja na ujanja wetu wote. Wewe Mtanzania hasa uliyeko Tanzania usikose kucheza hii kitu mwaka huu. Hii lottery inachezwa sasa na mwisho ni December 4th 2005. Tumekurahishia mambo. Angalia hii site
http://www.marekani.net upate kujua mambo yote muhimu kuhusu hii lottery na ujue tunaweza kukufanyia nini -- hasa kama uko Tanzania. Wakati ni kweli kuna faida binafsi za kuishi States sisi tunaona faida ambazo tunaweza zipata kwa pamoja kama watanzania - ni nyingi na hasa ukiwa nah ii kitu: Green Card. Tafadhali chezeni twende na hawa wenzetu sambamba mara hii! Nafasi ya kushinda unayo!! Soma kwenye
http://www.marekani.net upate data. Ipandie Green Card yako. Good Luck!!
Unquote
Anyway the idea here is not to apportion blame (I know Kenyans are well informed) but to say guys lets encourage fellow Jamhurians to take advantage of such opportunities.
For those Jamhurians who need to know, the lottery is on. For info you can start at
http://travel.state.gov/visa/immigrants/types/types_1318.html This will go on until December 4th so hurry.
There are several computer colleges and Cyber cafes offering the service in most major towns in the country. If you need more info, just ask.
And for those who have successfully gone thro the process please avail your experience and advice to fellow Jamhurians who need help.
cheers