Kikuyu.com    KIKUYU.COM    Forums  Hop To Forum Categories  General Discussions  Hop To Forums  Swahili Speakers    Burudika na Shairi
Go
New
Find
Notify
Tools
Reply
  
Burudika na Shairi
 Login/Join
 
"Ithe wa Nyambura na Wambui"
Platinum Member
Picture of sajini
Posted
SINA MAMA KUNILEA
Mama angu simuoni, naambiwa kakimbia
Sina furaha moyoni, mama nilimzoea
Nimebaki ukiwani, ninalia na dunia
Kinda ningali mtini, sina mama kunilea

Mama nilikosa nini, mwanao kunikimbia
Umenitupia nani, mwingine wa kunilea
Nimebaki na huzuni, sina wa kunidekea
Kinda ningali mtini, sina mama kunilea

Mimi na baba nyumbani, wenyewe twajipikia
Baba anachanja kuni, nami nachochea
Hukumbukia zamani, mama ninakulilia
Kinda ningali mtini, sina mama kunilea
Sheikh Amri Abeid Kaluta Sheria za Kutunga Mashairi EALB


Emotions are the greatest enemy of rational arguments
 
Posts: 3163 | Location: Neither here nor there | Registered: 03 May 2005Reply With QuoteReport This Post
"Ithe wa Nyambura na Wambui"
Platinum Member
Picture of sajini
Posted Hide Post
Ni nani atakayekisia nilidondoa beti hizi za kutoka shairi lipi?

Bismilahi naikadimu
Hali ya kutunga hino nudhumu
Na Ar-Rahmani kiirasimu
Basi Al-Rajimi nyuma ikaye
...
Ukwasi ungapo na tafakhuri,
Wakanakiliwa ili safari,
Washukiye nyumba za makaburi,
Mtanga na fusi ziwafusiye
...
Suu ulimwengu Bahari tesi
Una matumbawe na mangi masi
Aurakibuye juwa ni mwasi
Kwa khulla khasara ukhasiriye

Je kuna anayeweza kuziandika kwa Kiswahili cha kawaida?


Emotions are the greatest enemy of rational arguments
 
Posts: 3163 | Location: Neither here nor there | Registered: 03 May 2005Reply With QuoteReport This Post
Silver Member
Picture of jane
Posted Hide Post
quote:
Originally posted by sajini:
Ni nani atakayekisia nilidondoa beti hizi za kutoka shairi lipi?

Bismilahi naikadimu
Hali ya kutunga hino nudhumu
Na Ar-Rahmani kiirasimu
Basi Al-Rajimi nyuma ikaye
...
Ukwasi ungapo na tafakhuri,
Wakanakiliwa ili safari,
Washukiye nyumba za makaburi,
Mtanga na fusi ziwafusiye
...
Suu ulimwengu Bahari tesi
Una matumbawe na mangi masi
Aurakibuye juwa ni mwasi
Kwa khulla khasara ukhasiriye

Je kuna anayeweza kuziandika kwa Kiswahili cha kawaida?


Wee!hii ni kali!Hata kuelewa kwenyewe sielewi!Lol
 
Posts: 752 | Location: Mucii Kirinyaga:Wira California | Registered: 28 March 2007Reply With QuoteReport This Post
"Ithe wa Nyambura na Wambui"
Platinum Member
Picture of sajini
Posted Hide Post
Jane,
Hata Wakanyugi amashindwa na hii. Naskia amanunu akamusi mpya kujaribu kufasiri isimu hii lakini wapi?


Emotions are the greatest enemy of rational arguments
 
Posts: 3163 | Location: Neither here nor there | Registered: 03 May 2005Reply With QuoteReport This Post
Silver Member
Picture of jane
Posted Hide Post
quote:
Originally posted by sajini:
Jane,
Hata Wakanyugi amashindwa na hii. Naskia amanunu akamusi mpya kujaribu kufasiri isimu hii lakini wapi?


Sajini,
Hata Wakanyugi akinunua kamusi ngapi.Ng'o!!Nakwambia bwana sajini,hata tukibet millioni millioni,siwezi.Uwongo mbaya.Hakuna haja ya kutokwa na wazimu! Big Grin
 
Posts: 752 | Location: Mucii Kirinyaga:Wira California | Registered: 28 March 2007Reply With QuoteReport This Post
  Powered by Social Strata  
 

Kikuyu.com    KIKUYU.COM    Forums  Hop To Forum Categories  General Discussions  Hop To Forums  Swahili Speakers    Burudika na Shairi