Wakanyugi, Fanya kazi yako. Watanena, watachoka, na wataanguka mtihani. Aliye na masikio asikiye. Maneno yao hayawapimi yatokapo makanwani yao. Kazi yao kuropokwa tu. Atakaye msaada akuone...lakini usianze kuitisha 'tuition' Mimi pekee ndiye nitachukua hiyo...
Emotions are the greatest enemy of rational arguments
Posts: 3163 | Location: Neither here nor there | Registered: 03 May 2005
Mwalimu amelegea sana tangu apate kipenzi chake wakanyus. Mwalimu wimbo huu ukuendee wewe kwa njia ya kipekee(special dedication)umeimbwa na wa kioi: Uyu muabokando,nonginya umunywo(kiranja) uyu ni wa ndaimono,no nginya ukurwo!
quote:
Originally posted by kariúki wa kíhia: Na huu mtihani kwani unapigwa chapa Somalia?
Utarugaga egwatagia nja iina mahiga!
Posts: 902 | Location: nairobi wira:erondoreti kwa mami na baba | Registered: 05 May 2006
Leo wanajitia ujasiri. Kifua mbele matako nyuma. Mtihani ukija Utasingizia nini. Ole wako domo kaya Asiyekuwa makini. Machozi yatachiririka Kichwa chako utajikuna Na meno yako kusaga Uso wako utaficha Utasakamwa na kisonoko hata kama sasa wajifanya Mkakamavu kama mwamba
Emotions are the greatest enemy of rational arguments
Posts: 3163 | Location: Neither here nor there | Registered: 03 May 2005
Leo wanajitia ujasiri. Kifua mbele matako nyuma. Mtihani ukija Utasingizia nini. Ole wako domo kaya Asiyekuwa makini. Machozi yatachiririka Kichwa chako utajikuna Na meno yako kusaga Uso wako utaficha Utasakamwa na kisonoko hata kama sasa wajifanya Mkakamavu kama mwamba
Ahsanta sana Mwalimu kwa kuwasomea Wanafunzi Shairi langu. Shukran!
quote:
wakanyugi, sasa ati juu wewe ni ndali ya mwalimu na pia krifent unajifanya mwalimu! ndolo wewe,shandau!
Mbugua. nina yako moja
CONFIDENCE is trying to fart when you are suffering fron diarrhoea ... Robert Mugabe
Posts: 3729 | Location: Kiamatawa | Registered: 19 May 2006