Silver Member
|
Mjuaji. Vizuri. Hata mimi nazikumbuka siku hizo. Lakini sasa unazungumzia miaka ipi haswa ya themanini? Nashuku unazungumzia baada ya uchaguzi wa 1988 Wakati huo kama sijakosea kulikuwa pia na akina Jackson Angaine (Afisi ya Raisi), Katana Ngala, Sharrif Nassir, Zachary Onyonka, Davidson Kuguru, William Odongo Omamo, James Njiru (Utamaduni), Mmkindia na wengine. Nadhani Serikali za Mitaa ilikuwa ni Moses Mudavadi.... Sidhani Ntimama alikuwa waziri kabla ya 92.
Cia mburi ni hia!
|
| |
| Posts: 25 | Location: Kwa Waithaka (No Nongainuka!) | Registered: 09 April 2006 |  
IP
|
|